Msanii Chris Brown amepewa tuzo na compuni ya vevo
inayo jihusisha na maswala ya mziki vevo wanasema chris brown ni msanii pekee
katika compuni yao mwenye nyimbo tisa zenye likes zaidi ya 100millions tuzo
hiyo ambayo
ina mfanya chris brown kuwa certified na vevo, pia katika compuni
hiyo ya vevo msanii nick minaji ambaye alivunja recods ya wimbo wake wa
anaconda kua na likes nyingi ndani ya 24hrs;