TANGAZA NA TAZAMA HABARI

FANYA BIASHARA YAKO IJULIKANE ZAIDII jivunie kua mwanafamilia wa tazama habari ! WEAPON FOUNDATION TANGAZA BIASHARA YAKO NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI TUNAKUSHUKURU KWA KUA MWANAFAMILIA WA TAZAMA HABARI

Sunday, September 14, 2014

MAJINA YA FORM SIX NA FORM FORM FOUR WALIO CHAGULIWA NAFASI ZA UPOLISI

CALL FOR INTERVIEW AT TANZANIA POLICE FORCE - MWANZA
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza linatangaza usaili kwa vijana waliomaliza form IV 2013 na Form six 2014 waliochaguliwa kujiunga na Jeshi la Polisi kwa Mwaka 2014 kuwa tarehe 23/09/2014 hadi tarehe 26/09/2014 litafanya usaili katika ukumbi wa polisi Mabatini kuanzia saa 2.00 asubuhi hadi saa kumi na moja.
PAKUA ORODHA YA MAJINA
Muhimu:
(i) Mwombaji anaruhusiwa kufanya usaili kwenye kituo chochote cha usaili kilicho karibu naye kulingana na tarehe zinavyoonesha kwenye jedwali hapo juu ili mradi awe amejiridhisha kuwa ni miongoni mwa walioitwa kwenye usaili. Jeshi la Polisi halitashughulikia usaili wa mtu ambaye hayupo kwenye orodha ya walioitwa kwenye usaili.
 (ii) Mwombaji aliyeitwa kwenye usaili aje na vyeti vyote vya masomo [(Academic Certificate(s)/Results slip(s) & Leaving certificate(s)] na nakala halisi ya cheti cha kuzaliwa (Original Birth certificate)]. Hati ya kiapo cha kuzaliwa haitakubalika.
 (iii) Mwombaji awe na namba ya simu itakayotumika kumjulisha endapo atachaguliwa..
 (iv) Kila mwombaji aliyeitwa kwenye usaili atajigharamia usafiri, chakula na malazi kwa muda wote wa zoezi la usaili. Pia waombaji waje na kalamu za wino kwa ajili ya usaili wa kuandika.
 Ni muhimu sana kwa kila mwombaji kuzingatia muda wa kuanza usaili.

 Kwa yeyote atayesoma Tangazo hili amwambie na mwenzake.