TANGAZA NA TAZAMA HABARI

FANYA BIASHARA YAKO IJULIKANE ZAIDII jivunie kua mwanafamilia wa tazama habari ! WEAPON FOUNDATION TANGAZA BIASHARA YAKO NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI TUNAKUSHUKURU KWA KUA MWANAFAMILIA WA TAZAMA HABARI

Friday, August 15, 2014

MANENO YA DIAMOND PLATNUMZ AKIMCHANA WEMA SEPETU


#BringBackOurWema: Diamond amchana Wema Sepetu, Kampeni inayoaminika kuanzishwa na mashabiki wa Wema Sepetu ikiwa na hash tag #BringBackOurWema  wakimtuhumu Diamond kuwa chanzo cha muigizaji huyo wa kike kushuka ngazi kwenye tasnia ya filamu.


Sauti za mashabiki hao imemfikia vyema Diamond Platinumz na amemua kujibu mashambulizi kwa kuandika ya moyoni kuhusu mpenzi wake huyo akidai kuwa yeye mwenyewe ndiye chanzo cha tatizo kwa kuwa ameendekeza maisha ya anasa na mashoga wanaompoteza.
“Nafikiri ningewaona kweli mnaakili na Mapenzi ya dhati kwa wasanii  wenu….kama mngemshauri apunguze mashoga wapenda anasa na apunguze  Stareh zisizo na Faida, wenda ingemsaidia Pesa kuzitumia kwenye kufanya kazi na kuleta maendeleo badala ya kuwapa viwanda vya pombe…Mimi kama bwana, wajibu wangu ni kuhakikisha Mpenzi wangu anakula vizuri, anavaa vizuri, analala vizuri, na kumuwezesha mtaji wa kufanyia kazi Waswahili wanasema Mchungaji bora anatakiwa aamue kunywa maji!!!!! Au mnataka nikishampa mtaji niache kufanya na show tena na kuigiza nimuigizie mie???? Nisiende Studio nikae dukani nimuuzie mie???? Ni juhudi zako kwanza!...leo hii mimi Hata ningepewa Mamilioni ya mamilioni kama nisingekuwa na moyo mie mwenyewe kwanza kutaka kujituma na kupenda kufanya kazi yangu nisingefikia hapa nilipo!....Mxieeeeeew! Kama nimekuchagua Lamba ndimu usitapike.”