TANGAZA NA TAZAMA HABARI

FANYA BIASHARA YAKO IJULIKANE ZAIDII jivunie kua mwanafamilia wa tazama habari ! WEAPON FOUNDATION TANGAZA BIASHARA YAKO NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI TUNAKUSHUKURU KWA KUA MWANAFAMILIA WA TAZAMA HABARI

Friday, September 5, 2014

Mh Joshua Nassary Mbunge Wa Arumeru Mashariki Akishilikiana Na Wananchi Wake

 Huu ni ujenzi wa barabara ya sawmill-Ushili mpaka Sura huko Arumeru Mashariki jimbo linaloongozwa na mbunge kutoka chama cha democrasia na maendeleo chadema. Mbunge Joshua Nassary ameamua kushilikiana na wananchi wake kuhakikisha barabara hiyo unakamilika na ikumbukwe kua ni mmoja kati ya wana ukawa ambaye hayupo katika bunge linaloendelea
hivi sasa na kwa maana hiyo ameamua kuutumia mda huo kufanya kazi za kijamii katika jimbo lake huu ni mfano wa kuigwa kwa wabunge wetu na sio wakisha changuliwa wanahamia dar kabisaa