TANGAZA NA TAZAMA HABARI

FANYA BIASHARA YAKO IJULIKANE ZAIDII jivunie kua mwanafamilia wa tazama habari ! WEAPON FOUNDATION TANGAZA BIASHARA YAKO NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI TUNAKUSHUKURU KWA KUA MWANAFAMILIA WA TAZAMA HABARI

Monday, July 14, 2014

GERMANY ATWAA KOMBE LA DUNIA 2014 KWA KUMPIGA ARGENTINA 1-0










Kutoka RIO DE JANEIRO, BRAZIL, fainali za combe la dunia 2014 zamalizika huku timu ya Germany ikiibuka mshindi wa kombe la dunia 2014  kwa kuwachapa timu ya Argentina goli 1-0, goli hilo lilifugwa dakika ya 113 ya mda wa nyongeza kutoka kwa  mchezaji Mario Gotz  ambaye aliingia dakika ya 88 akibadilishana na mchezaji no 11 Miroslav Klose , hii ni sab iliyo zaaa matunda............


 kwa timu ya germany na kuiwezesha timu hiyo kutwaa ubigwa wa kombe la dunia 2014 hivyo kuandika historia ya kuchukua combe la dunia kwa mara ya 4 tangu mwaka 1954, 1974, 1990  na sasa 2014,  katika mech hiyo mchezazi Gotze ndie aliye ibuka man of the match, amecheza dakika 32, pass alizo toa 19, goal 1, mashuti golini 2
Hata hivyo jana waandaaji wa word cup 2014 wametoa tuzo kwa wachezaji na timu bora kama inavyo onyeshwa hapo chini.
 mshindi wa kwanza ni germany , mshindi wa pili ni argentina, mshindi wa tatu ni netheland na mshindi wa nne ni blazil,
hao ndo washindi wa wordcup 2014




















zawadi ya mchezaji bora (best player ) imekwenda kwa mchezaji wa Argentina LIONEL MESSi amechukua mpira wa dhahabu



















zawadi ya mfungaji bora imekwenza kwa mchezaji wa colombia JAMES Rodriguez ambaye kachukua kiatu cha dhahabu



















zawadi ya kipa bora imekwenda kwa kipa wa ujerumani Manuel NEUER ambaye kachukua glove ya dhahabu



















mchezaji bora mwenye umri mdogo imekwenda kwa mchezaji wa ufarance Paul POGBA 



















na zawadi ya mwisho ilikua ni kwa timu yenye nidhamu ambayo imekwenda kwa timu ya Colombia 



















huo ndo mgawanyo wa zawadi za wordcup 2014 iliyo fanyika huko brazil