TANGAZA NA TAZAMA HABARI

FANYA BIASHARA YAKO IJULIKANE ZAIDII jivunie kua mwanafamilia wa tazama habari ! WEAPON FOUNDATION TANGAZA BIASHARA YAKO NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI TUNAKUSHUKURU KWA KUA MWANAFAMILIA WA TAZAMA HABARI

Tuesday, July 8, 2014

ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA MAFUNZO MAALUMU REKEBISHI (BRIDGING COURSE)

ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA MAFUNZO MAALUMU REKEBISHI (BRIDGING COURSE) YA UALIMU NGAZI YA STASHAHADA MASOMO YA SAYANSI NA HISABATI KATIKA CHUO CHA UALIMU MONDULI MWAKA WA MASOMO 2014/2015.

Wanafunzi wote waliochaguliwa kujiunga na Mafunzo haya wanatakiwa kuripoti Chuo cha Ualimu Monduli kuanzia tarehe 14/07/2014 hadi 15/07/2014.
 
MAELEKEZO MUHIMU


Wanafunzi wanatakiwa kufika chuoni wakiwa na mahitaji yafuatayo:-
 1. Vyeti halisi vya Baraza la Mitihani la Tanzania vya Kidato cha NNE na SITA;
2. Sare ya Chuo (Shati/Blauzi nyeupe mikono mirefu:Suruali/sketi: koti na tai rangi ya “dark blue”); na
3. Fedha za tahadhari chuoni na matumizi binafsi. 

 
Usajili wa waliochaguliwa kujiunga na Mafunzo utafungwa terehe 18/07/2014 saa 12.00 jioni.

bonyeza hapa kupata majina
http://www.moe.go.tz/index.php?option=com_docman&task=doc_download&gid=344&Itemid=385