TANGAZA NA TAZAMA HABARI

FANYA BIASHARA YAKO IJULIKANE ZAIDII jivunie kua mwanafamilia wa tazama habari ! WEAPON FOUNDATION TANGAZA BIASHARA YAKO NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI TUNAKUSHUKURU KWA KUA MWANAFAMILIA WA TAZAMA HABARI

Tuesday, July 15, 2014

RAFIKI ELIMU FOUNDATION YATOA NAFASI ZA MAFUNZO YA USIMAMIZI NA UENDESHAJI WA TAASISI ZISIZO KUWA ZA KISERIKALI


Taasisi  ya RAFIKIELIMU FOUNDATION  kupitia  MRADI  WA WANAWAKE SALAMA TANZANIA, inatangaza  nafasi zaMAFUNZO YA  USIMAMIZI NA UENDESHAJI  WA TAASISI ZISIZO KUWA ZA KISERIKALI   yaani NGO MANAGEMENT  &  OPERATION.
Wahitimu wa mafunzo  haya watapata  nafasi  ya kufanya kazi ya USIMAMIZI NA  UENDESHAJI  WA VIKUNDI VYA WANAWAKE WAJASIRIAMALI katika MRADI WA WANAWAKE SALAMA TANZANIA,,,,,


ADA  YA MAFUNZO HAYA NI SHILINGI ELFU  ISHIRINI NA  TANO TU  (Tshs.25,000/=)

SIFA ZA  MUOMBAJI  NAFASI
1.       Awe  wa  jinsia  ya kike  mwenye  elimu  ya kuanzia kidato  cha nne na kuendelea.
2.       Awe  anaishi  katika mkoa  wa Dar Es  salaam.
3.       Awe  na wito wa  kufanya kazi za kijamii
4.       Awe  tayari kufanya  kazi  kama msimamizi na  muendeshaji wa vikundi vya ujasiriamali  vya wanawake.
FOMU  ZA  KUJIUNGA NA  MAFUNZO  HAYA  ZINAPATIKANA  OFISINI KWETU  KWA GHARAMA  YA SHILINGI ELFU  KUMI  NA  TANO  TU (Tshs.15,000/=).
Ofisi zetu zinapatikana  katika  eneo  la CHANGANYIKENI karibu  na  CHUO  CHA  TAKWIMU mbele ya  CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM.
Kufika ofisini kwetu, panda  daladala  za  UBUNGO-CHANGANYIKENI, kasha shuka kituo cha  TAKWIMU halafu tembea hatua ishirini mbele  kisha tazama  upande wako wa kulia, utaona ofisi  imeandikwa RAEFO TANZANIA.
Mwisho   wa kuchukua  fomu  ni  TAREHE  31 JULY 2014 saa nane kamili mchana,
Kwa maelezo zaidi, wasiliana nasi  kwa simu : 0784406508