TANGAZA NA TAZAMA HABARI

FANYA BIASHARA YAKO IJULIKANE ZAIDII jivunie kua mwanafamilia wa tazama habari ! WEAPON FOUNDATION TANGAZA BIASHARA YAKO NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI TUNAKUSHUKURU KWA KUA MWANAFAMILIA WA TAZAMA HABARI

Friday, August 15, 2014

DIAMOND PLATNUMZ ASHINDA TUZO NYINGIE YA NYIMBO BORA YA EAST AFRIKA


Photo: Shukran zangu nyingi zikufikie wewe shabiki yangu kwa kuiwezesha nyimbo ya Number One kuwa Nyimbo bora ya East Africa kwenye tunzo za #TTTM_Awards Nchini BURUNDI... daima ntaendelea kujituma na kuhakikisha nawapa burudani ya uhakika.... Shukran za dhati kwa mwanangu @MafiaMnyama kwa kuiwakilisha vyema Wasafi nchini BurundiHAYA ni maneno aliyoo yaandika msanii hit maker wa bongo diamond platnumz katika ukrasa wake wa face book baada ya wimbo wake wa my number one kupewa tuzo ya wimbo bora wa east afrika ,"Shukran zangu nyingi zikufikie wewe shabiki yangu kwa kuiwezesha nyimbo ya Number One kuwa Nyimbo bora ya East Africa kwenye tunzo
za#TTTM_Awards Nchini BURUNDI... daima ntaendelea kujituma na kuhakikisha nawapa burudani ya uhakika.... Shukran za dhati kwa mwanangu @MafiaMnyama kwa kuiwakilisha vyema Wasafi nchini Burundi"