Dr Kent Brantly, 33, AMEWASHUKURU
walio kua wakimwombea na kumpa support katika ukumbi wa habari uliopo Atlanta.
Nancy Writebol, 59, ameruhusiwa kutoka hospitali aliko kua akitibiwa baada ya
kupata Ugonjwa
wa ebola akiwa anawasaidia wagonjwa wa lio athirika na ugonjwa
huo. Kupona kwa wagonjwa hawa kumetoa mwanga na matumaini ya kumalizika kwa
tatizo la ugonjwa hatari wa Ebola, wagonjwa hawa walipelekwa nchini marekani
kwa matibabu na wametibiwa kwa week tatu na jumanne hii wagonjwa hawa
wameruhusiwa kurudi ma kwao baada ya kupatiwa tiba