Frorah Mbasha amesema kuwa, anamshukuru
Mungu kwa kufanikisha kutoa albam mpya inayokwenda kwa jina Nipe Nguvu ya
Kushinda, kazi ambayo tayari jamii imeipokea vizuri.
Msanii huyu ambaye amezoeleka kufanya kazi
ya muziki pamoja na mumewe Emmanuel Mbasha, amewatoa wasiwasi mashabiki kuwa
licha ya mgogoro, Mumewe yupo katika kazi hii