Mwanamke mmoja (jina halijafahamika)
aliyekuwa anavuka barabara ya Morogoro maeneo ya Ubungo maji kutoka ng'ambo ya
tank na kuelekea upande wa Tanesco amegongwa na gari ya daladala aina ya Toyota
Coaster lililodaiwa kuvunja sheria likiwa linapita kwenye barabara ya
magari ya mwendo kasi.
Katika ajali hiyo dereva wa basi(daladala)
hakupatikana kwani alikimbia baada ya ajali. Agalia picha zaidi..
hii ndo dala dala iliyo mgonga