TANGAZA NA TAZAMA HABARI

FANYA BIASHARA YAKO IJULIKANE ZAIDII jivunie kua mwanafamilia wa tazama habari ! WEAPON FOUNDATION TANGAZA BIASHARA YAKO NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI TUNAKUSHUKURU KWA KUA MWANAFAMILIA WA TAZAMA HABARI

Wednesday, September 3, 2014

VAZI LA JOTI NA LULU KATIKA FAINALI ZA TMT NI BALAAAA

Katika kile kinacho semwa na mashabiki walio hudhuria finali za ktm kumwona msanii wa komedy nchini anaye tambuluka kwa jina la Joti amevalia Vazi ambalo kwa upande mmoja ni la kiume na kwa upande mwingine ni lakike, mashabiki wanadai kitendo kile kinachochea ushoga na hakimletei sifa nzuri yeye kama msanii na kiioo cha jamii pia katika upande wa pili msanii wa filam anaye julukana kwa jina la LULU real Elizabeth Michael alivalia kigauni
kinachoonyesha sehemu yake ya kifua na kuwafanya mashabiki pia kutoa comment zao kua haikupendeza kuvaa vile yeye kama kioo cha jamii angalia picha za wasaanii hao hapa chini