TANGAZA NA TAZAMA HABARI

FANYA BIASHARA YAKO IJULIKANE ZAIDII jivunie kua mwanafamilia wa tazama habari ! WEAPON FOUNDATION TANGAZA BIASHARA YAKO NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI TUNAKUSHUKURU KWA KUA MWANAFAMILIA WA TAZAMA HABARI

Saturday, July 12, 2014

CHRIS BROWN NA DRAKE WAONEKANA STUDIO PAMOJA























Kwa wapenzi na mashabiki wa Chris Brown pamoja na  Drake wanatambua uwepo wa bifu kati ya mastar hao wa muziki huko USA, bifu hili linasababishwa na mwanadada Rihana ambaye alikua Mpenzi wa Chris Brown hapo awali na kuachana naye na kuanza kutoka na Drake, lakin leo katika tweets Chris kaandika ujumbe unaosomeka kua walishinda na Drake studio hivyo kuacha maswali mengi kwa mashabiki na wapenzi wa
wasanii hao ambao bado walikua wanadhani kuna bifu kati yao, hata hivyo tweet ya Chris ina suppotiwa na picha aliyo ipost mwana dada Stalker Sarah katiaka account yake ya instagram ikimwonyesha Chris Brown na Drake wakifanya kazi studio pamoja. Mbali na hivyo vyote hakuna tamko lasimi lililo tolewa kuhusiana na hilo wala kazi gani wanayo ifanya Drake na Chris walipo kua studio tazama picha hapa chini   







































hii inamaanisha hakuna tena befu kati  ya wasanii hao wawili