KUPIpitia account yake ya twitter msaani anaye fanya
vizuri nchini marekani na Duniani kote Chris Brown kesho anatarajia kuufanyia
uzinduzi wimbo
wake mpya na hukuu akijiaanda na kukamilisha albam, msanii huyu
anaye tisha kwa kutoa single kalii na zenye mvutu kwa watu wa aina tofauti
tofauti usikose kuitazama kupitia hapa hapa tazama habari….