TANGAZA NA TAZAMA HABARI

FANYA BIASHARA YAKO IJULIKANE ZAIDII jivunie kua mwanafamilia wa tazama habari ! WEAPON FOUNDATION TANGAZA BIASHARA YAKO NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI TUNAKUSHUKURU KWA KUA MWANAFAMILIA WA TAZAMA HABARI

Saturday, August 30, 2014

RAIS WA MAREKANI OBAMA AILAUM RUSSIA KWA KILE KINACHOTOKEA UKRAINE

Rais Barack Obama wa Marekan amesema mapigano yanayoendelea nchini Ukraine si matokeo ya kukua kwa maasi nchini humo bali ni uchochezi wa Urusi.
Amesema waandamaji nchini Ukraine wamekuwa wakifanya
vitendo hivyo kutokana na uchochezi wa Urusi ambapo anadai kuwa nchi hiyo inahusika katika kuwasaidia silaha na gharama za fedha waasi hao.
Hata hivyo Rais Obama hajatoa mrejesho wa moja kwa moja kwa kile ambacho NATO wamekiita umuhimu wa kuongeza majeshi ya Urusi nchini Ukraine.
Obama pia ameionya Urusi kwamba kwa kufanya hivyo itakuwa gharama kubwa kwao na pia yaweza kuwasababishia hasara.