TANGAZA NA TAZAMA HABARI

FANYA BIASHARA YAKO IJULIKANE ZAIDII jivunie kua mwanafamilia wa tazama habari ! WEAPON FOUNDATION TANGAZA BIASHARA YAKO NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI TUNAKUSHUKURU KWA KUA MWANAFAMILIA WA TAZAMA HABARI

Saturday, August 9, 2014

YALIO JILI USIKU WAA MATUMAINI UWANJA WA TAIFA; YEMI ALADE AFUNIKA TAMASHA BALAAAAA


Msanii wa Nigeria anayae tamba na nyimbo yake ya john amefunika mbayaa katika tamasha la usiku wa matumain akimtafuta john live pale uwanja wa taifa. Mashabiki walimshangilia kwa nguvu sana na amefanya tamasha hilo kua la kihistolia saaaana  tazama picha mbali mbali za yemi alade akifanya vitu ndani ya uwanja wa taifa