TANGAZA NA TAZAMA HABARI

FANYA BIASHARA YAKO IJULIKANE ZAIDII jivunie kua mwanafamilia wa tazama habari ! WEAPON FOUNDATION TANGAZA BIASHARA YAKO NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI TUNAKUSHUKURU KWA KUA MWANAFAMILIA WA TAZAMA HABARI

Wednesday, September 3, 2014

BASI LA MORO BEST LAPATA AJARI KATI YA MOR NA PWANI 45 WAJERUHIWA

Basi la abiria, Moro Best likiwa limepinduka katikati ya Morogoro na mkoa wa Pwani Jumanne Septemba 3, 2014. Kwa mujibu wa mashuhuda watu 45 wamejeruhiwa wanne kati yao mahututi. Hakutna taarifa zaidi zilizopatikana kuhusiana na ajali hiyo